Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi amesema kwamba jumla ya kura 10,359,479 zilipigwa, huku 381,386 zikiharibika.
Kwa karibu asilimia 30 ya kura zilizo hesabiwa Alhamisi, Museveni alipata kura millioni 1,852,000 sawa na asilimia 63.9, naye Bob Wine alipata kura laki 821,000 sawa na asilimia 28.4, tume ya uchaguzi nchini Uganda imesema.
No media source currently available