No live streaming currently available
Siku ya Jumatatu dunia inaadhimisha siku ya mazingira, wakati ambapo ulimwengu unakabiliwa na changamoto ya uchafuzi wa bidhaa za plastic.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari
Mapigano yamezuka tena Jumanne nchini Sudan licha ya ahadi za hivi karibuni za Majenerali wawili hasimu kusitisha mapigamo ili kuruhusu misaada inayohitajika sana kuwafikia raia waliozingirwa.
Kenya bado inaendelea kukabiliwa na ukiukaji mkubwa wa uhuru wa habari dhidi ya wanahabari na vyombo vya habari hususan mwaka 2022.
Mwanasiasa wa muda mrefu Bola Tinubu aliapishwa kuwa rais wa Nigeria siku ya Jumatatu akichukua nafasi ya Muhammadu Buhari, Jenerali wa zamani ambaye ameondoka kwenye kiti hicho baada ya kutumikia mihula miwili madarakani.