Baadhi ya Masuala muhimu yaliyojitokeza wakati Trump na Netanyahu walipokutana
Rais wa Marekani Donald Trump Jumanne alikutana na Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu huko White House kujadili masuala kadhaa, ikiwemo sitisho la mapigano Gaza ambapo Israel ilikuwa katika vita na wanamgambo wa Hamas. Hizi ni baadhi ya nukuu muhimu.

1
Baadhi ya Masuala muhimu yaliyojitokeza wakati Trump na Netanyahu walipokutana

2
Marekani Kulisimamia eneo la Gaza kuondoa mabomu

3
Sera ya Rais wa Marekani Donald Trump huko Gaza

4
Netanyahu aeleza amani kati ya Israel na Saudi Arabia