Jengo la Bunge la Marekani likiwa tayari kwa sherehe za kuapishwa Rais mteule Joe Biden na Makamu Rais mteule Kamala Harris Jumatano huku uwanja ukiwa umepambwa kwa bendera katika viwanja vya National Mall mjini Washington.
Wafuasi wa Rais Museveni washerehekea ushindi wake kenye uchaguzi wa rais huku wapinzani wakiongozwa na Bobi Wine wako kaika huzuni.
Wafuasi wa Rais wa Marekani Donald Trump wavunja sheria za usalama na kuvamia ndani ya Bunge la Marekani wakati likiwa linajadili kuthibitishwa kwa kura za wajumbe za matokeo ya uchaguzi wa rais, January 6, 2021.
Rawlings atakumbukwa kama kiongozi aliyeongoza mapinduzi ya kijeshi mara mbili nchini Ghana, na baadaye kuleta mfumo wa demokrasia kwa taifa hilo la Afrika Magharibi.
Wamarekani wafurahia tangazo la vyombo vya habari kwamba mgombea kiti cha rais wa chama cha Democratic Joe Biden antakya mshindi wa uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2020.
Darzeni ya wafuasi wanaomuunga mkono Rais Donald Trump wamekusanyika katika miji mbali mbali nchini wakati matokeo ya uchaguzi yanapotangazwa wakitaka zowezi la kuhesabu kura kusitishwa.
Uchaguzi Marekani wafikia kileleni Jumanne ambapo wananchi wamejitokeza kukamilisha zoezi la kupiga kura katika majimbo mbalimbali, katika uchaguzi utakao amua nani atakuwa rais ajaye wa Marekani.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais John Pombe Magufuli pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli Wapiga Kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Idara ya Maji Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma.
Mambukizo ya virusi vya corona yakiingia katika awamu ya pili kwenye nchi nyingi za dunia, kuna baadhi ya wachezaji mashuhuri wa kandanda wanaougua ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi hivyo.
Maandamano kuadhimisha miaka 57 tangu kufanyika maandamano ya kihistoria kutetea haki za kiraia Marekani.
Miongoni mwa matukio muhimu wanajeshi wapindua serikali ya rais Ibrahim Boubacar Keita nchini Mali.
Rais Magufuli amesema Benjamin William Mkapa amefariki dunia hospitalini Jijini Dar es Salaam ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Pandisha zaidi