Upigaji kura ukiendelea siku ya Jumanne katika uchaguzi mkuu wa urais nchini Kenya. Hali ya upigaji kura imeripotiwa kuwa shwari.
Mashindano ya Mabingwa wa Dunia yafanyika Eugene, Oregon Marekani ambako wanariadha kutoka nchi za Afrika wanafanya vizuri.
Maelfu ya Watu washiriki kwenye maandamano na mikutano ya kupinga mashambulizi ya buduki, wakitoa wito wa hatua kali kcuhukuliwa ili kudhibiti bunduki Maekani.
Zaidi ya watu elfu 22 wahudhuria kongamano kubwa kabisa la waslamu wa Marekani na Canada, linalofanyika kila mwaka na kusimamiwa na taasisi ya ICNA
Kijana mwenye umri wa miaka 18 alishambulia kwa bunduki shule ya msinigi ya Robb, mjini Uvalde, Texas na kusababisha vifo vya watoto 19 na walimu wawili.
Jeshi la Umoja wa Mataifa la Monusco nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wameanza ushirikiano mpya na jeshi tiifu la serikali ya nchi hiyo katika operesheni dhidi ya waasi wa M23 wilayani Rutshuru, Kivu kaskazini.
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, lilifanikiwa tena kuwafukuza waasi wa M23 na katika maeneo kadhaa ya wilaya ya Rutshuru.
Rais Volodymyr Zelensky amasema yuko tayari kwa mzungumzo ya amani bila ya masharti yeyote na Rashia kwenye mpaka wake na Belarus katika eneo maalum karibu na Chernobil,
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27 wananchi wa Gambia washiriki kwenye uchaguzi bila ya hofu kutokana na kutokuwepo na jina la kiongozi wa mabavu Yahya Jammeh.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken anaendelea na ziara yake ya mataifa matatu akiwa tayari nchini Nigeria. Ziara yake itakayo chukua siku tano akiwa tayari amezuru Kenya, na anatarajiwa kumalizia na Senegal.
Chama huru cha wafanyakazi wa Afya Sudan wanasema watu watano wameuwawa na polisi kwnye maandamano Jumamosi kupinga mapinduzi ya kijeshi
Mafuriko makubwa yatokea Muscut, Oman na kusababisha vifo vya watu watatu.
Pandisha zaidi