Maelfu ya watu wengi wao wanawake waliandamana mjini Washington Jumamosi Disemba 18, 2025, kulalamika dhidi ya kuapishwa kwa rais mteule Donald Trump, na kutoa ujumbe wa kulinda haki zote za kiraia na kibinadamu. Wakatio huo huo sherehe za kumkaribisha Trump zinafanyika leo Jumapili huko huko Washington. Maelfu ya watu wengi wao wanawake waliandamana mjini Washington Jumamosi Disemba 18, 2025, kulalamika dhidi ya kuapishwa kwa rais mteule Donald Trump, na kutoa ujumbe wa kulinda haki zote za kiraia na kibinadamu. Wakatio huo huo sherehe za kumkaribisha Trump zinafanyika leo Jumapili huko huko Washington.
Maandamano ya "People's March" kabla ya kuapishwa Trump
- Abdushakur Aboud
Maandamano yaliyopewa jina la "People's March" yalianza kutoka uwanja wa Franklin na kupita kati kati ya jiji la Washington hadi uwanja mkubwa mbele ya makumbusho ya Lincon.

1
Maelfu ya watu wahudhurua mkutano wa People's March Washington

2
Walinda mazingira kwenye maandamano ya "Peoples March' Washington

3
Muandamanaji akiwa na nguo iliyoandikwa Palestina Huru wakati wa maandamano ya "People's March" Washington

4
Maandamano ya "People's March" yanza kutoka uwanja wa Farugaut, Washington
Forum