Jarida la Wikiendi linaangazia namna ambavyo sera za uwekezaji kwa serikali za Afrika Mashariki zinavyobadilika na kukaribisha ubia wa sekta binafsi.
Wiki hii makala ya Jarida la Wikiendi inaangalia siasa na utawala nchini Kenya, kufuatia mswaada wa kutaka kumfungulia mashtaka na kutaka aondolewe ofisini Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gashagua umeidhinishwa na Bunge, umefikishwa kwenye Baraza la Seneti na hatima yake bado haijulikani.
JARIDA LA WIKIENDI linaangazia mzozo wa Mashariki ya Kati, vita kati ya Israel na Wanamgambo wa Hezbollah, Hamas, wa wahouthi wanaorusha makombora kutoka Yemen, wakati Iran pia ikirusha makombora ya masafa marefu kuelekea Israel.
Uchaguzi mkuu umeahirishwa kwa mara ya pili huko Sudan Kusini, huku serikali ikisema haiko tayari kuandaa shughuli hiyo muhimu. Je, uamuzi huo una maana gani kwa wananchi wa Sudan na ukanda huo kwa ujumla?
Jarida la Wikiendi linaangazia mchakato unaendelea ndani ya Umoja wa Mataifa wa kulifanya bara za Afrika kuwa na viti viwili vya kudumu ndani ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Je, hatua hii italeta mabadiliko gani katika masuala ya usalama ndani ya bara la Afrika?
Wiki iliyopita viongozi wa Afrika walikutana katika kongamano lililofanyika katika jiji la Beijing huko China. Katika kongamano hilo la tisa la ushirikiano kati ya bara la Afrika na China, mbali na mikopo zaidi, ahadi nyingi zilitolewa.
Ugonjwa wa homa ya Nyani (M-pox) umekuwa tishio barani Afrika hususani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambako kuna maambuluzi zaidi ya asilimia 90.
Jarida la wikiendi linaangazia uzinduzi rasmi wa kampeni ya Raila Odinga ya kuwania nafasi ya Uwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Katika uzinduzi huo mwanasiasa huyo mkongwe wa Kenya aliungwa mkono na baadhi ya viongozii wa nchi za Afrika Mashariki akiwemo rais wa Kenya William Ruto.
Jarida la wikiendi wiki hii linaangazia kongamano la chama cha demokrat ambalo limemthibitisha Kamala Harris kama mgombea rasmi wa urais wa chama hicho huku kampeni zikipamba moto kuelekea uchaguzi mkuu wa urais wa Marekani.
Jarida la wikiendi linaangazia sababu za Kanda ya Afrika Mashariki kushindwa kupata matokeo ya kuridhisha katika michuano ya michezo ya Olimpiki ya majira ya joto pamoja na kuwa iliweza kushiriki michezo kadhaa.
Wakati idadi ya watu wanaishi katika umaskini imepungua duniani. Kwa bara la Afrika, hususani katika nchi zilizo Kusini mwa jangwa la Sahara kiwango kikubwa cha ongezeko la umaskini kimeshuhudiwa.
Ripoti ya kutetea haki za binaadamu (Human Rights Watch) imesema pande zinazohusika katika mzozo wa Sudan, jeshi la Sudan na vikosi vya RSF vimehusika na unyanyasaji wa kingono na kijinsia katika mji kuu wa Khartoum.
Pandisha zaidi