Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 27, 2025 Local time: 23:57

JARIDA LA WIKIENDI: Hoja za Trump kuzitoza ushuru Canada, China na Mexico.


JARIDA LA WIKIENDI: Hoja za Trump kuzitoza ushuru Canada, China na Mexico.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:01 0:00

Utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump umeendelea kutoa hoja zake juu ya mahitaji ya ushuru kwa bidhaa kutoka Canada, China na Mexico. Nchi hizo tatu zimetishia kuchukua hatua za kulipiza kisasi, lakini zinasema bado ziko tayari kwa mazungumzo na ushirikiano na Marekani.

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG