Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 19, 2025 Local time: 19:28

Trump asema Ukraine iko tayari kurejea kwenye meza ya mazungumzo


Trump asema Ukraine iko tayari kurejea kwenye meza ya mazungumzo
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:01 0:00

Rais wa Marekani, Donald Trump, Jumanne katika hotuba yake bungeni alisema amepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ikisema Ukraine iko tayari kurejea kwenye meza ya mazungumzo.

Barua hiyo imesema Ukraine iko tayari kujadili kumaliza vita vya miaka mitatu vya Russia dhidi ya Ukraine, Sikiliza ripoti kamili...

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG