Jeshi la Umoja wa Mataifa la Monusco nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wameanza ushirikiano mpya na jeshi tiifu la serikali ya nchi hiyo katika operesheni dhidi ya waasi wa M23 wilayani Rutshuru, Kivu kaskazini.
Rais Volodymyr Zelensky amasema yuko tayari kwa mzungumzo ya amani bila ya masharti yeyote na Rashia kwenye mpaka wake na Belarus katika eneo maalum karibu na Chernobil,
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 27 wananchi wa Gambia washiriki kwenye uchaguzi bila ya hofu kutokana na kutokuwepo na jina la kiongozi wa mabavu Yahya Jammeh.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken anaendelea na ziara yake ya mataifa matatu akiwa tayari nchini Nigeria. Ziara yake itakayo chukua siku tano akiwa tayari amezuru Kenya, na anatarajiwa kumalizia na Senegal.