Kiongozi wa waliowengi katika Baraza la Seneti Mitch McConnell apinga mchakato wa kumfungulia mashtaka Rais Donald Trump.
Mtiririko wa yaliyotokea kipindi cha kumfungulia mashtaka Rais Trump
Viongozi wa Bunge la Marekani Alhamisi wakijadili hatua zinazofuata katika Baraza la Seneti wakati tayari Baraza la Wawakilishi limemfungulia mashtaka Rais Donald Trump.

1
Kiongozi wa waliowengi katika Baraza la Seneti Mitch McConnell akielekea katika ukumbi wa Seneti wa Bunge la Marekani Capitol Hill Washington, Alhamisi, Disemba. 19, 2019. (AP Photo/Susan Walsh)

2
Spika wa Baraza la Wawakilishi Nancy Pelosi akizungumza kabla ya vifungu viwili vya kumfungulia mashtaka Rais Donald Trump kupigiwa kura katika Baraza la Wawakilishi, katika jengo la bunge la Capitol Hill Washington, Disemba 18, 2019.

3
Spika Nancy Pelosi akitabasamu wakati Baraza la Wawakilishi likiendelea kupiga kura kupitisha vifungu viwili vya kumfungulia mashtaka ya kumuondoa madarakani Rais Donald Trump Washington, Dec. 18, 2019.

4
Kura za Wawakilishi zikionyeshwa katika Runinga wakati wa kupiga kura iliyokuwa inasimamiwa na Spika wa Baraza la Wawakilishi.