... mazungumzo mapana kati ya viongozi hao yaligusia ulimwengu kukabiliana na janga la virusi vya Corona na tangazo la uongozi wa Biden wiki hii kuwa Marekani itajiunga tena na mkataba wa Hali ya Hewa wa Paris na kuendeleza ushirikiano wake na Shirika la Afya Duniani, WHO.
Pia alitarajiwa kuongea kwa simu na Katibu Mkuu wa NATO, Jens Stoltenberg na kupewa muhtasari wa taarifa za operesheni zinazoendelea China na Mashariki ya Kati.
Raia wa Tanzania, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar (Burma), Nigeria, Sudan hawahusishwi tena na katazo la visa za uhamiaji zilizo tangazwa Januari 2020 na Trump.
Katika hotuba yake ya kuapishwa, Biden amesema “Matakwa ya watu yamesikika, na yamezingatiwa. Tumejifunza mara nyingine kuwa demokrasia ni yenye thamani na demokrasia inaweza kuharibika. Katika saa hii, Rafiki zangu, demokrasia imeshinda.”
Siku ya kuapishwa kwa rais mpya ni kuthibitisha utaratibu unaoendelea wa serikali inayojitawala. Kiongozi mpya huapishwa, akipewa mamlaka ya kutawala kwa ridhaa ya wananchi.
Mhamiaji Sonam Zoksang anasema anamuangalia Biden, ...atatekeleza ujumbe wake wa kuleta umoja na maridhiano.“Naamini uongozi huu mpya na baadhi ya Warepulikan wema wanaweza kufanya kazi pamoja. Dunia inaiangalia Marekani kama ni mfano wa kuigwa.
Akirejea hotuba zake za zamani, Biden amesema ni “wakati wa kuepuka siasa za chuki, kupunguza jazba, kukutana tena, na kusikilizana kati yetu.”
Ushindi wa Biden utamfanya Trump kiongozi mkuu wa Marekani wa tatu katika miongo minne iliyopita kushindwa kuchaguliwa tena baada ya miaka minne ya uongozi wa taifa la Marekani.
Kushinda katika jimbo hili muhimu kutamuwezesha Biden kufikia kiwango cha kura 270 za wajumbe zinazohitajika ili kushinda uchaguzi wa rais.
Wakosoaji wanasema juhudi za Facebook kurekebisha kanuni na kuweka vizuizi zaidi vimekuwa na mianya isiyowezesha kutekelezwa, hata baada ya kutumia mabilioni kwa ajili ya mradi huo.
Trump ambaye yuko nyuma katika ukusanyaji wa maoni kitaifa, amerejea mara kadhaa – na bila ya ushahidi – kusema upigaji kura kwa njia ya posta unawizi na kughushi.
Hii ni moja ya hatua za kujenga uaminifu unaolenga azma ya kufufua mchakato wa mazungumzo ya amani yaliyokwama, Umoja wa Mataifa na vyanzo vingine vimesema Jumapili.
Hivi sasa kufuatia kifo cha Ginsburg, Trump anaweza kufanya kitu ambacho hakuna rais mwengine alitekeleza katika kizazi kilichopita: kumweka jaji mconservative nafasi iliyoachwa wazi na jaji mliberali.
“Leo hii hili ni tukio lenye msukumo wa kweli. Wananchi wa Afghanistan hatimaye wamechagua kukaa pamoja na kuunda muelekeo mpya kwa nchi yenu. Hii ni fursa ya kuwa na matumaini,” Pompeo amesema.
Malipo haya ni kwa yeyote anayetaka kupimwa COVID-19, lakini serikali imeorodhesha wale ambao lazima wafanyiwe vipimo.
“Iwapo serikali haihusiki kwa namna yoyote na shambulio hili, hivyo ni kwa maslahi yake kuja na ukweli juu ya hili.”
Mpaka sasa ziko chanjo tisa ambazo zinafanyiwa majaribio duniani mbili kati ya hizo zinafanyiwa majaribio Afrika.
Pandisha zaidi