Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:48

Rais Samia aongoza viongozi wa mataifa kuuaga mwili wa Hayati Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiongoza Viongozi wa Mataifa ya Nchi mbalimbali Duniani na Wananchi wa Jiji la Dodoma kwenye Mazishi ya Kitaifa ya kuuaga Mwili wa hayati Rais John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Jamhuri JIjini Dodoma leo March 22,2021.

Marais wa nchi tisa za Afrika ni miongoni mwa wageni mashuhuri waliohudhuria shughuli ya kitaifa ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati, John Pombe Magufuli jijini Dodoma Jumatatu. Picha zote na Ofisi ya Rais.

Pandisha zaidi

16x9 Image

Jaffar Mjasiri

Ni Mwandishi na Msimamizi wa Mitandao ya Kijamii, VOASwahili

 

Makundi

XS
SM
MD
LG