Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 14:24

Mapambano yazuka tena Jerusalem karibu na msikiti wa al-Aqsa

Mapambano mapya yamezuka Jumatatu kati ya vikosi vya usalama vya Israeli na Wapalestina waliokuwa wanafanya ibada karibu na msikiti wa al-Aqsa mjini Jerusalem Jumatatu.

Watu walioshuhudia tukio hilo wanasema vikosi vya usalama vilifyatua mabomu ya machozi na maguruneti ndani ya msikiti, wakati wanaofanya ibada walirusha mawe na vitu vingine kuwalenga askari hao. Shirika la Hilal Ahmar limesema zaidi wa Wapalestina 300 wamejeruhiwa, kati yao 228 walipelekwa hospitali ya karibu. Darzeni ya Wapalestina walijeruhiwa.

Pandisha zaidi

16x9 Image

Jaffar Mjasiri

Ni Mwandishi na Msimamizi wa Mitandao ya Kijamii, VOASwahili

 

Makundi

XS
SM
MD
LG