Wizara ya afya imesema kwamba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 16 amethibitishwa kuambukizwa virusi hivyo, katika jimbo la Darfur mmagharibi.
Maafisa wa afya kote duniani wanandelea kutafuta namna ya kukabiliana na maambukizi ya Monkeypox ambayo yanaendelea kuongezeka kote duniani.
Shirika la Afya Duniani limetangaza mlipuko wa Monkeypox kuwa janga la afya la kimataifa.