Kaka yake Ibrahim, Baktash, alihukumiwa kifungo cha miaka 25 Agosti, 2019.
Anashutumiwa pamoja na mambo mengine, kutumia madaraka vibaya, na anakabiliwa na mashtaka ya ufisadi ya zabuni zinazotolewa mjini Nairobi.
Kiasi cha watu 100 wameuawa tangu Novemba 5 katika mashambulizi ambayo ADF inalaumiwa kuhusika, kundi ambalo lina mizizi yake nchini Uganda.
“Ukweli haupingiki,” Pelosi amesema. “Rais ametumia mamlaka yake vibaya kwa maslahi binafsi ya kisiasa kwa gharama ya usalama wa taifa letu."
raia kwa ushirikiano na polisi na shirika la mslaba mwekundu wanaendelea kuwatafuta walionusurika katika janga hilo.
Wademocrats waliitisha kikao hicho cha hadhara wakianza utaratibu wa pili wakisheria wa kutayarisha mashtaka rasmi dhidi ya Rais Donald Trump.
Zaidi ya watu 200 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya matope huko Afrika Mashariki...
Waziri wa Ulinzi Lemma Megerssa amesema hali ya kutokuwepo utulivu nchini inaonyesha siyo wakati muwafaka kuunda chama cha siasa kipya.
Mahakama ya serikali kuu ya Marekani mjini New York imefuta mashtaka dhidi ya Bustany baada ya baraza la mahakimu kutompata na hatia kuhusiana na kashfa ya mkopo wa dola bilioni 2 kwa Msumbiji.
Tanzania ni nchi ya pili baada ya Rwanda kuondoa haki ya watu na asasi za kiraia kuweza kuifikia mahakama ya Afrika,
Cipollone alisema atajibu mwishoni mwa wiki iwapo White House itashiriki kwenye shauri hilo katika siku zijazo.
Matokeo ya utaratibu huo yatapelekea hatua ya baraza zima la wawakilishi kupiga kura ya kumfungulia mashitaka ya kumwondoa rais madarakani ama la.
Pandisha zaidi