Kundi la waasi la M23 limeuteka mji wa Kalembe mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na kupanua wigo wake katika eneo hilo, afisa mmoja na mbunge wa zamani walisema Jumatatu.
Kenya ilisema Jumatatu imewakabidhi wakimbizi wanne raia wa Uturuki baada ya kukubali ombi la Ankara la kutawaka warejeshwe nchini kwao
Zaidi ya vijana 500 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika Jumatatu wamekutana Jijini Arusha ,Tanzania kujadili namna watakavyoweza kupata fursa na haki ya kumiliki ardhi katika nchi zao, na kuitumia kujikwamua kwenye umaskini.
Gulen alikuwa mshirika wa Rais wa Uturuki Tayyip Erdogan lakini walitofautiana na aliwajibishwa kwa jaribio la mapinduzi la 2016
“Tupe kile mlichotuibia, mifupa yetu, mafuvu yetu, watoto wetu, watu wetu. Mmeiharibu nchi yetu" amesema seneta Lidia Thorpe.
Msemaji wa jeshi la Israel amesema kwamba Israel haifanyi operesheni dhidi ya jeshi la Lebanon.
Watu wasiojulikana walimteka nyara, kumpiga na kumjeruhi vibaya afisa mwandamizi wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema
Wizara ya ulinzi ya Russia imesema ndege zisizokuwa na rubani 110 za Ukraine ziliharibiwa katika mashambulizi ya usiku kucha
Hakuna tamko la haraka kutoka kwa wanamgambo wa RSF ambao wamechukua udhibiti wa sehemu kubwa ya nchi ya Sudan
Gachagua aliondolewa madarakani na Seneti kwa mashtaka matano kati ya 11 yaliyowasilishwa dhidi yake siku ya Alhamis.
Watu waliokuwa na bunduki wamempiga risasi na kumuua mwanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji.
Korea Kaskazini imedai leo Jumamosi kwamba imegundua mabaki ya mojawapo ya ndege zisizokuwa na rubani kutoka Korea kusini iliyotoka Korea Kusini na kuanguka Pyongyang.
Pandisha zaidi