Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 08:10

Maafisa wa DRC wapendekeza kusitishwa mikataba yote iliyosainiwa na Rwanda


Maafisa wa DRC wapendekeza kusitishwa mikataba yote iliyosainiwa na Rwanda
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:38 0:00

Maafisa wa ngazi ya juu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamependekeza kwa serikali ya Kinshasa kusitisha mikataba yote na jirani yake Rwanda kutokana na madai kuwa majeshi ya Rwanda yameingia nchini na yanaendelea kuwasaidia waasi wa M23.

XS
SM
MD
LG