Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 14:33
VOA Direct Packages

Baada ya Mbowe kuachiwa huru, Chadema imeeleza azma yake ya kushinda uchaguzi 2025


Baada ya Mbowe kuachiwa huru, Chadema imeeleza azma yake ya kushinda uchaguzi 2025
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:38 0:00

Baada ya Mwenyekiti wa chama cha upinzani, Chadema, Freeman Mbowe kuachiwa, chama hicho kimesema kitaendeleza azma yake ya kuleta mabadiliko na kuingia katika kinyang'anyiro cha urais ili kwenda ikulu ifikapo mwaka 2025.

Makundi

XS
SM
MD
LG