Serikali na hospitali binafsi nchini Tanzania zimetakiwa kutafuta njia za kupunguza gharama za matibabu ya figo na kuboresha huduma za Afya kwa wagonjwa wanaohitaji matibabu hayo.
Chama cha ACT Wazalendo, Zanzibar kinachounda serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) kimetishia kujiondoa kutoka muungano huo kutokana na baadhi ya makubaliano kushindwa kutekelezwa na rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
Serikali ya Haiti iliomba rasmi msaada wa usalama kutoka kwa nchi zote kote duniani, zaidi ya mwaka mmoja uliopita.
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake Ijumaa Machi 8, nchini Tanzania wanawake wametakiwa kuongeza juhudi zao katika siasa, ili kuhakikisha kuna wingi wa viongozi wanawake nchini.
Wanawake wa Tanzania wameitaka serikali kutoa elimu ya fursa mbalimbali za kiuchumi ili kuwawezesha wanawake kujikimu kiuchumi, na kuwasihi wanawake kutumia vipaji vyao wakati wakikabiliwa na changamoto mbalimbali.
Ali Hassan Mwinyi, who during two terms as Tanzania’s president oversaw the introduction of a multiparty democracy and the liberalization of the economy, has died. He was 98.
Rais wa zamani wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, amefariki leo Alhamisi akiwa na umri wa miaka 98, vyanzo vya habari nchini Tanzania vimeeleza.
Mwili wa raia wa Tanzania umepatikana ukielea katika Mto Miami Marekani Jumanne asubuhi na idara husika zikithibitisha kuwa mwili huo ni wa mtu aliyeanguka kutoka katika mashua mwishoni mwa juma.
Baadhi ya wachumi na wasomi nchini Tanzania weitaka serikali kuhakikisha mradi wa reli ya umeme SGR unaleta manufaa kwa wananchi wa matabaka yote kwa kutoa huduma zenye bei nafuu huku wakishauri mradi huo ujikite katika usafirishaji wa mizigo ili kuhakikisha unarudisha uwekezaji uliofanyika.
Tanzania imezindua mtambo wa kwanza kwenye kinu kipya cha kuzalisha umeme wa maji ambacho kimepata upinzani mkali kutoka kwa wanamazingira kutokana na kuwa kimejengwa kwenye eneo lililoorodheshwa na Umoja wa Mataifa kama turathi ya Dunia.
Lugha ya Mama au lugha ya asili ni msingi imara wa kujifunza lugha nyingine. Kwasababu ni lugha ya kwanza ambayo mototo anajifunza nyumbani kabla ya kuanza masomo.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongoza maziko ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa taifa hilo Edward Ngoyai Lowassa yaliyofanyika hii leo nyumbani kwake Monduli Arusha na kuudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na wanasiasa kutoka vyama vya upinzani.
Pandisha zaidi