Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 09:28

Bi Biden ajionea mwenyewe athari za ukame Afrika Mashariki, aahidi 70% ya misaada yote ya kimataifa


Bi Biden ajionea mwenyewe athari za ukame Afrika Mashariki, aahidi 70% ya misaada yote ya kimataifa
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Mke wa rais wa Marekani, Jill Biden, Jumapili alipata nafasi ya kujionea kwa karibu hali mbaya ya ukame wa kihistoria unaoshuhudiwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Bi. Biden alitembelea moja ya maeneo yaliyoathiriwa zaidi na ukame nchini Kenya, katika kaunti ya Kajiado.

XS
SM
MD
LG