Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 21:55

Asilimia 64 ya Wamarekani waamini Biden hakushughulikia nyaraka za siri kwa njia sahihi


Asilimia 64 ya Wamarekani waamini Biden hakushughulikia nyaraka za siri kwa njia sahihi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Ukusanyaji mpya wa  maoni unaonyesha asilimia 64 ya Wamarekani wanaamini Rais wa Marekani Joe Biden jinsi alivyoshughulikia nyaraka za siri haikuwa kwa njia sahihi.

Wachunguzi bado wanatafuta kujua ni kwa nini mtu mwenye miaka 72 alifyatua risasi katika ukumbi wa dansi mjini California, ambao ni maarufu kwa watu wazee na kuua watu 10.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG