Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 03:10

Kampuni iliyotoa huduma ya teknolojia ya kupigia kura kwa IEBC yakataa kufungua seva


Kampuni iliyotoa huduma ya teknolojia ya kupigia kura kwa IEBC yakataa kufungua seva
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Katika kesi ya kupinga ushindi wa Rais mteule William Ruto kampuni iliyotoa huduma ya teknolojia ya kupigia kura kwa tume ya uchaguzi IEBC nchini Kenya imekataa kufungua seva za kituo kikuu cha kitaifa cha kupigia kura kwa madai ya usalama.

- Uchunguzi na taarifa za ushahidi bado zinaendelea katika kesi ya Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kuhusu kuondoka madarakani na nyaraka za siri za serikali.

XS
SM
MD
LG