Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Februari 08, 2025 Local time: 09:14

Wafuasi wa Rais wa Brazil wapambana na jeshi la polisi


Rais wa Brazil Jair Bolsonaro
Rais wa Brazil Jair Bolsonaro

Picha za waandamanaji, wengi wao wakiwa wamevalia nguo za rangi ya njano na kijani za bendera ya Brazil walifika kuonyesha uungaji mkono wao kwa Bolsonaro, na kusambaza ujumbe wao hadi kwenye vituo televisheni na mitandao ya kijamii.

Polisi akirusha risasi wakati wafuasi wa Rais wa Brazil Jair Bolsonaro wakiandamana.
Polisi akirusha risasi wakati wafuasi wa Rais wa Brazil Jair Bolsonaro wakiandamana.

Azma ya maandamano hayo bado haiku bayana na polisi hawakujibu haraka ombi la AP kutoa maoni.

Tangu Bolsonaro ashindwe na Lusi Inacio Lula da Silva katika uchaguzi wakuwania tena urais hapo Oktoba 30, wafuasi wake wamekuwa wakikusanyika kote nchini wakipinga kushindwa na kuyataka majeshi kuingilia kati.

Mapema Jumatatu, mamlaka ya uchaguzi nchini ilimpa da Silva na makamu wake hati rasmi ya kuidhinisha ushindi wao.

XS
SM
MD
LG