Kikundi cha G7 kinajumuisha Marekani, Ufaransa, Uingereza, Japan, Ujerumani, Italia na Canada na Umoja wa Ulaya pia huhudhuria mkutano. Mwaka huu, Macron pia amemkaribisha kiongozi wa Australia, Burkina Faso, Chile, Misri, Senegal, Rwanda na Afrika Kusini kuongeza wigo la mjadala juu ya kukosekana usawa duniani.
Matukio
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.
-
Januari 31, 2025
Tunamulika tatizo la seli zinazokua nje ya kizazi cha mwanamke.
-
Januari 26, 2025
Mamia ya watu wakijaribu kutoka DRC kwenda Rwanda kuepuka mapigano
-
Januari 19, 2025
Maandamano ya People's March mjini Washington.
-
Januari 17, 2025
Mzigo wa magonjwa yanayochochewa na virusi barani Afrika.