Kikundi cha G7 kinajumuisha Marekani, Ufaransa, Uingereza, Japan, Ujerumani, Italia na Canada na Umoja wa Ulaya pia huhudhuria mkutano. Mwaka huu, Macron pia amemkaribisha kiongozi wa Australia, Burkina Faso, Chile, Misri, Senegal, Rwanda na Afrika Kusini kuongeza wigo la mjadala juu ya kukosekana usawa duniani.
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum