Kikundi cha G7 kinajumuisha Marekani, Ufaransa, Uingereza, Japan, Ujerumani, Italia na Canada na Umoja wa Ulaya pia huhudhuria mkutano. Mwaka huu, Macron pia amemkaribisha kiongozi wa Australia, Burkina Faso, Chile, Misri, Senegal, Rwanda na Afrika Kusini kuongeza wigo la mjadala juu ya kukosekana usawa duniani.
Matukio
-
Januari 03, 2025
Mazoezi yanavyoimarisha afya ya mwili pamoja na umri
-
Desemba 27, 2024
Tutamulika ufahamu kuhusu faida za kicheko kwa ustawi wako wa afya.
-
Desemba 17, 2024
Makundi ya haki yanafurahia mahakama maalum ya uhalifu wa Gambia