Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 12:28

Uingereza yaadhimisha miaka 70 ya utawala wa Malkia Elizabeth


Uingereza yaadhimisha miaka 70 ya utawala wa Malkia Elizabeth
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:14 0:00

Maelfu ya watu wamejitokeza katika mji wa London kuhudhuria sherehe za kihistoria za utawala wa Malkia Elizabeth, ambako walionekana kumshangilia alipojitokeza kwenye baraza la kasri ya Buckingham kutoa heshima zake katika gwaride la kijeshi.

XS
SM
MD
LG