- Wanaharakati waliokuwa wanaandamana Kenya kupinga dhulma dhidi ya wagombea wa upinzani Uganda wakamatwa.
- Baraza la Wawakilishi Marekani lajadili mswaada wa kumfungulia mashtaka Rais Donald Tump kumuondoa madarakani waanza Jumatano.
- Baraza la Wawakilishi Marekani lajadili mswaada wa kumfungulia mashtaka Rais Donald Tump kumuondoa madarakani waanza Jumatano.