Watu 20 wauwawa baada ya wanamgambo wawili kushambulia jengo la Makumbusho la Bardo mjini Tunis siku ya Jumatano. watali wa kigeni 18 waliuliwa pamoja na washambulizi wawili. Maafisa wa usalama wanasema wanawasaka watu wengine watatu wanoshukiwa kuhusika na shambulio hilo.
Wanamgambo washambulia jengo la makumbusho Tunis

1
Une ville morte a été organisée à Bangui, en Centrafrique, le 24 octobre 2016. (VOA/Freeman Sipila)

2
Maafisa wa polisi wakiwa wanajikinga karibu na jengo la makumbusho la Bardo ambako wanamgambo wanashambulia mjini Tunis, March 18, 2015.

3
Polisi wakisubiri wakati shambulio dhidi ya jengo la makumbusho la Bardo linaendelea mjini Tunis, March 18, 2015.

4
Gari la wagonjwa likiondoka kutoka jengo la makumbusho la Bardo Tunis, Tunisia, March 18, 2015.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017