Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:42

Wanamgambo washambulia jengo la makumbusho Tunis

Watu 20 wauwawa baada ya wanamgambo wawili kushambulia jengo la Makumbusho la Bardo mjini Tunis siku ya Jumatano. watali wa kigeni 18 waliuliwa pamoja na washambulizi wawili. Maafisa wa usalama wanasema wanawasaka watu wengine watatu wanoshukiwa kuhusika na shambulio hilo.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG