Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 16, 2025 Local time: 20:22

Tume ya Uchaguzi Kenya yakamilisha kusambaza vifaa nchini


Tume ya Uchaguzi Kenya yakamilisha kusambaza vifaa nchini
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:13 0:00

Wakenya wako tayari kwa uchaguzi mkuu wa urais 2022 ambapo Tume ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC imeeleza kuwa zoezi la kusambaza vifaa vya kupiga kura linaendelea nchi nzima, ikiwa ni vifaa vya mwisho kusambazwa leo Jumatatu kote nchini. Jumanne wananchi wanaanza kupiga kura.

XS
SM
MD
LG