Maseneta hao wanasema Ted Cruz na Josh Hawley walijua madai ya udanganyifu katika upigaji kura hayakuwa na msingi na yalipelekea vitisho na vurugu wakati wabunge wanapiga kura ya kumuidhinisha rasmi Biden kama mshindi wa uchaguzi wa urais Marekani
Chama cha shule binafsi nchini Kenya kinasema karibu shule binafsi 400 zimelazimika kufungwa kwa sababu ya janga, na kuathiri takriban wanafunzi 56,000.
Mashirika ya misaada yaliripoti kesi nne za COVID-19 zilizothibitishwa, katika kambi ya Um Rakouba ya Sudan kwa wakimbizi wa Ethiopia wiki hii. Kambi hiyo ni makazi ya watu 25,000 ambao wamewasili tangu Novemba mwaka jana
Serikali ya Uganda imewanyima vibali waangalizi wa Uchaguzi Mkuu kutoka Marekani.
Jamii ya Washona nchini Kenya walitambuliwa kama raia kufuatia agizo la Rais Uhuru Kenyatta
Nchi kadhaa za Afrika mashariki hasa Kenya, Uganda, Sudan kusini, Somalia, Ethiopia na sehemu za jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, zilishuhudia wimbi kubwa la nzige ambalo lilisababisha uharibifu mkubwa kwa mime ana kutishia kutokea baa la njaa, mwanzoni mwa mwaka 2020.
Kwingineko, sehemu za ibada zilikuwa na waumini wachache huku zikine zikisalia bila watu, wengi wao wakifuatilia ibada mitandaoni.
Pandisha zaidi