Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 18:40
VOA Direct Packages

Tanzania: Uongozi wa mgodi wa dhahabu Shinyanga waeleza wachimbaji hawagusi mercury


Tanzania: Uongozi wa mgodi wa dhahabu Shinyanga waeleza wachimbaji hawagusi mercury
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:42 0:00

Mgodi wa kuchimba dhahabu ulioko Shinyanga, Tanzania unaendelea kutoa ajira kwa wengi huku uongozi wa mgodi huo wakieleza kuwa wanachukua tahadhari kuhakikisha wafanyakazi hawagusi mercury na ngozi zao.

Mercury ambayo inatumika kusafisha dhahabu inamadhara kwa mwanadamu. Ungana na mwandishi wetu aliyetembelea mgodi huo na anakuletea taarifa kamili...

Makundi

XS
SM
MD
LG