Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 02:08

Spika Pelosi azuru Taiwan, akutana na viongozi wa kisiasa


Spika Pelosi azuru Taiwan, akutana na viongozi wa kisiasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi alikutana na viongozi wa kisiasa wa Taiwan katika mji mkuu wa Taipei kabla ya kuondoka katika kisiwa hicho.

- Ubalozi wa Marekani nchini Kenya watoa tahadhari kwa raia wake kutosafiri kwenda Kisumu.

-Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika sekta ya nishati, mafuta na gesi.

-

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.

XS
SM
MD
LG