Wiki hii makala ya Jarida la Wikiendi inaangalia siasa na utawala nchini Kenya, kufuatia mswaada wa kutaka kumfungulia mashtaka na kutaka aondolewe ofisini Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gashagua umeidhinishwa na Bunge, umefikishwa kwenye Baraza la Seneti na hatima yake bado haijulikani. Ungana na waandishi wetu kutoka Marekani, Kenya na Tanzania katika uchambuzi wa suala hili na masuala mengine... - - - - -
Siasa na utawala Kenya: Mswaada wa Kumfungulia Mashtaka Naibu Rais
Kiungo cha moja kwa moja
Wiki hii makala ya Jarida la Wikiendi inaangalia siasa na utawala nchini Kenya, kufuatia mswaada wa kutaka kumfungulia mashtaka na kutaka aondolewe ofisini Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gashagua umeidhinishwa na Bunge, umefikishwa kwenye Baraza la Seneti na hatima yake bado haijulikani.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum