Sherehe hizo zimefanyika chini ya ulinzi mkali na imara nje ya ngazi za Bunge la Marekani, Washington, Januari 20, 2021.
Sherehe za kuapishwa Rais Joe Biden na Makamu Rais Kamala Harris
Joe Biden ameapishwa Jumatano kuwa Rais wa 46 wa Marekani pamoja na Makamu Rais Kamala Harris, Seneta wa zamani Baraza la Seneti la Marekani.
5
Rais mteule Joe Biden na Makamu Rais Kamala Harris wakati wakijiandaa kuapishwa nje ya Bunge la Marekani, Washington, U.S., January 20, 2021. REUTERS/Brendan McDermid
6
Rais Joe Biden akila kiapo kuwa Rais wa 46 Marekani, Januari 20, 2021. Saul Loeb/Pool via REUTERS
7
Kamala Harris akila kiapo kuwa Makamu Rais wa Marekani, nje ya Bunge la Marekani, Washington, U.S., January 20, 2021. REUTERS/Kevin Lamarque
8
Makamu wa Rais Kamala Harris akifurahia kuapishwa kwa Joe Biden kuwa Rais wa 46 wa Marekani. REUTERS/Brendan McDermid
Jaffar Mjasiri
Ni Mwandishi na Msimamizi wa Mitandao ya Kijamii, VOASwahili
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017