Sherehe hizo zimefanyika chini ya ulinzi mkali na imara nje ya ngazi za Bunge la Marekani, Washington, Januari 20, 2021.
Sherehe za kuapishwa Rais Joe Biden na Makamu Rais Kamala Harris
Joe Biden ameapishwa Jumatano kuwa Rais wa 46 wa Marekani pamoja na Makamu Rais Kamala Harris, Seneta wa zamani Baraza la Seneti la Marekani.
9
Rais wa zamani Barack Obama na mkewe Michelle Obama wakiwasili katika sherehe za kuapishwa Joe Biden kuwa Rais wa 46 wa Marekani.
10
Msanii Lady Gaga akiwasili kuimba mwimbo wa taifa katika sherehe za kuapishwa Joe Biden kuwa Rais wa 46 wa Marekani.20, 2021. REUTERS/Jim Bourg
11
Rais wa Marekani Joe Biden, mkewe Jill Biden, Makamu wa Rais Kamala Harris, na mumewe Doug Emhoff mara baada ya zoezi la kuapishwa kumalizika, Washington, Marekani., Januari 20, 2021. REUTERS/Tom Brenner
Jaffar Mjasiri
Ni Mwandishi na Msimamizi wa Mitandao ya Kijamii, VOASwahili
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017