Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 11:20
VOA Direct Packages

Duniani Leo : Aprili 7 : Rwanda yaadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya kimbari


Duniani Leo : Aprili 7 : Rwanda yaadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya kimbari
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Rais wa Rwanda Paul Kagame Jumatano ameadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi na baadhi ya Wahutu Kigali, Rwanda.

- Kenya yaondoa tozo ya kodi katika dawa za HIV na Ukimwi ambazo zilizuiwa kwa miezi mitatu.

- Mazungumzo baina ya Ethiopia, Sudan na Misri kuhusu ujenzi wa bwawa kubwa la kufua umeme Ethiopia yaliyokuwa yakifanyika DRC yavunjika.

Makundi

XS
SM
MD
LG