- Kenya yaondoa tozo ya kodi katika dawa za HIV na Ukimwi ambazo zilizuiwa kwa miezi mitatu.
- Mazungumzo baina ya Ethiopia, Sudan na Misri kuhusu ujenzi wa bwawa kubwa la kufua umeme Ethiopia yaliyokuwa yakifanyika DRC yavunjika.
- Mazungumzo baina ya Ethiopia, Sudan na Misri kuhusu ujenzi wa bwawa kubwa la kufua umeme Ethiopia yaliyokuwa yakifanyika DRC yavunjika.