Mchakato huo ameeleza kuwa utafuata makubaliano kati ya Kenya, Somalia na shirika la wakimbizi la Umoja wa Matiafa, UNHCR. Alizungumza na mwenzangu BMJ Muriithi Katika mahojiano maalum katika studio za idhaa hii ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika, hapa mjini Washington...
VOA Direct Packages
Ruto asema akishinda uchaguzi wakimbizi Kenya watahamishwa kwa hiari
Kiungo cha moja kwa moja
Naibu wa Rais wa Kenya, William Ruto, ambaye pia ni mgombea urais nchini humo, amesema kuwa iwapo atachaguliwa rais, atahakikisha kwamba mchakato wa kuwahamisha wakimbizi kutoka kambi za Kakuma na Dadaab, utafanyika kwa hiari.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017