Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 28, 2023 Local time: 05:45

Ripoti ya Kimataifa yaeleza takriban vifo 43,000 vinaweza kuwa vimetokea Somalia 2022


Ripoti ya Kimataifa yaeleza takriban vifo 43,000 vinaweza kuwa vimetokea Somalia 2022
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Ripoti mpya iliyotolewa na Wizara ya Afya na mashirika ya huduma za kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, WHO na UNICEF imesema takriban vifo 43,000 vinaweza kuwa vimetokea mwaka 2022 nchini Somalia.

XS
SM
MD
LG