Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:15

Raia kutoka nchi za maziwa makuu na Afrika mashariki waishio Canada waunda shirika la kukuza Kiswahili


please wait

No media source currently available

0:00 0:04:08 0:00

Shirika hilo liitwalo Kiswahili Network Canada lina wanachama 150. Baadhi ya malengo yake ni kuunda chombo cha habari cha wanaozungumza Kiswahili, na kuwafunza Kiswahili watoto waliozaliwa Canada, kama anavyoeleza Juma Manirambona, naibu mwenyekiti wa shirika hilo

Makundi

XS
SM
MD
LG