Raia kutoka nchi za maziwa makuu na Afrika mashariki waishio Canada waunda shirika la kukuza Kiswahili
Kiungo cha moja kwa moja
Shirika hilo liitwalo Kiswahili Network Canada lina wanachama 150. Baadhi ya malengo yake ni kuunda chombo cha habari cha wanaozungumza Kiswahili, na kuwafunza Kiswahili watoto waliozaliwa Canada, kama anavyoeleza Juma Manirambona, naibu mwenyekiti wa shirika hilo
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017