VOA Direct Packages
Raia kutoka nchi za maziwa makuu na Afrika mashariki waishio Canada waunda shirika la kukuza Kiswahili
Kiungo cha moja kwa moja
Shirika hilo liitwalo Kiswahili Network Canada, lina wanachama 150, wengi wao wanapatikana mikoa ya Quebec na Montreal. Moja kati ya malengo yake, ni kuwafunza Kiswahili watoto walioazaliwa Canada, kama anavyosema naibu mwenyekiti wa shirika hilo, Juma Manirambona kutoka Burundi.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017