Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 01:23
VOA Direct Packages

Raia kutoka nchi za maziwa makuu na Afrika mashariki waishio Canada waunda shirika la kukuza Kiswahili


please wait

No media source currently available

0:00 0:04:08 0:00

Shirika hilo liitwalo Kiswahili Network Canada, lina wanachama 150, wengi wao wanapatikana mikoa ya Quebec na Montreal. Moja kati ya malengo yake, ni kuwafunza Kiswahili watoto walioazaliwa Canada, kama anavyosema naibu mwenyekiti wa shirika hilo, Juma Manirambona kutoka Burundi.

Makundi

XS
SM
MD
LG