Qatar na Equador kufungua michuano ya Kombe la Dunia Novemba 2022
Kiungo cha moja kwa moja
Michuano ya kombe la dunia inatarajia kuanza Novemba 20 mwenyeji Qatar atachuana na Equador katika uwanja wa Al-Bait, mjini Al khour na fainali itapigwa Decemba 18 katika uwanja wa Lusail mjini Doha. Timu 22 zitachuana katika kombe ambalo linashikiliwa na Ufaransa iliotwaa mwaka 2018.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017