Balozi wa Marekani nchini Libya na wafanyakazi watatu wa ubalozi wameuliwa baada ya kundi la watu kuvamia afisi ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa mashariki wa Benghazi usiku Jumanne. J. Christopher Stevens,ni mmoja kati ya maafisa wenye ujuzi mkubwa wa mashariki ya kati katika wizara ya mambo ya kigeni.
Balozi wa Marekani Christopher Stevens
1
French military personnel try to control supporters who are asking them to disarm fighting gangs, near the airport in Bangui, Central African Republic. France appealed to European partners for assistance in quelling months of religious violence in its former colony.
2
John Christopher Stevens, balozi mpya wa Marekani nchini Libya, akisalimiana na mwenyekiti wa Baraza la Mpito la Kitaifa Libya (NTC) Mustafa Abdel Jalil (Kulia) baada ya kumkabidhi stakbadhi zake za uteuzi mjini Tripoli, June 7, 2012.
3
U.S. envoy Chris Stevens akizungumza na waandishi habari wa Libya katika hoteli ya Tibesty (April 2011 file photo)
4
U.S. envoy Chris Stevens, katikati, akifuatana na mjumbe wa Uingereza Christopher Prentice, kushoto, akizungumza na diwani wa Misrata Dr. Suleiman Fortia, kulia, katika hoteli ya Tibesty Benghazi.