Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 10:02

Matayarisho ya maziko ya Rais mstaafu George H.W. Bush

Matayarisho ya maziko ya Rais mstaafu George H.W. Bush yakiendelea huko Texas kabla ya mwili wake kuletwa jijini Washington, DC, Marekani.

Rais Bush alifariki dunia siku ya Ijumaa iliyopita akiwa na umri wa miaka 94, takriban miezi minane baada ya kufa mkewe Barbara Bush. (AP Photo/Robert F. Bukaty)

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG