Mapigano ya Gaza yaendelea kwa wiki ya nne mfululizo
Mapigano yameongezeka huko Gaza, huku maandamano yakifanyika katika pembe zote za dunia kuunga mkono Palestina na kutaka kuachiliwa kwa mateka.
5
Watu walopata hifadhi ndani ya hospitali ya Al-Quds mjini Gaza City.
6
Watu wapita kwenye mabango yenye picha na majina ya watu walotekwa nyara na Hamas baada ya shambulizi ya Oktoba 7, 2023.
7
A picture taken from Israel's southern city of Sderot shows smoke rising during Israeli bombardment of the Gaza Strip on October 29, 2023, amid ongoing battles between Israel and the Palestinian Hamas movement. (Photo by FADEL SENNA / AFP)
8
Wa Korea Kusini wanaoiunga mkono Palestina wakusanyika Seoul kuihimiza Israel kusitisha mashambulizi yake dhidi ya Gaza.