Raia wa Mali sasa wanajiandaa kufanya uchaguzi mkuu.
Mali yajiandaa kufanya uchaguzi mkuu.
![Mmjoa wa wanachama wa Tuareg akicheza katika kampeni za mkutano wa mgombea urais Ibrahim Boubacar Keita kwenye mji wa Timbuktu Julai 24 , 2013.](https://gdb.voanews.com/e8911589-2984-475f-8c52-9a06a6cecc61_w1024_q10_s.jpg)
1
Mmjoa wa wanachama wa Tuareg akicheza katika kampeni za mkutano wa mgombea urais Ibrahim Boubacar Keita kwenye mji wa Timbuktu Julai 24 , 2013.
![Mpiga kura akitafuta jina lake katika orodha ya wapiga kura kwenye kituo cha Bamako, Mali, Julai 23, 2013.](https://gdb.voanews.com/743055d8-afc5-4a70-8075-e4d376b912cf_w1024_q10_s.jpg)
2
Mpiga kura akitafuta jina lake katika orodha ya wapiga kura kwenye kituo cha Bamako, Mali, Julai 23, 2013.
![Mchuuzi akipita katika duka akiwa na picha zilizopambwa matukio ya uchaguzi ya kuunga mkono mgombea Dramane Dembele katika soko katikati ya Timbuktu.](https://gdb.voanews.com/1cd6503d-9942-4ab5-861a-44ef61d15332_w1024_q10_s.jpg)
3
Mchuuzi akipita katika duka akiwa na picha zilizopambwa matukio ya uchaguzi ya kuunga mkono mgombea Dramane Dembele katika soko katikati ya Timbuktu.
![Issa Djire mfuasi wa mgombea urais Dramane Dembele akiwa amesimama karibu na picha ya Dembele nje ya nyumba yake mjini Bamako , Mali.](https://gdb.voanews.com/2d279b76-8aa4-4997-a72f-c3b3053bed32_w1024_q10_s.jpg)
4
Issa Djire mfuasi wa mgombea urais Dramane Dembele akiwa amesimama karibu na picha ya Dembele nje ya nyumba yake mjini Bamako , Mali.