Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 23:10

#voa400 : Kumbukumbu ya miaka 400 ya utumwa


#voa400 : Kumbukumbu ya miaka 400 ya utumwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:47 0:00

Maadhimisho ya miaka 400 tangu Waafrika wa kwanza kutoka Angola waliotekwa na kufanywa watumwa kuwasili nchi ambayo leo ni Marekani.

Kuwasili kwa meli iliyokuwa imewabeba Waafrika kutoka Angola katika koloni la Virginia, mwezi Agosti 1619, ilikuwa ni mwanzo wa kuanza biashara ya utumwa iliyodumu kwa zaidi ya miaka 200 nchini Marekani.

Mayra de Lassalette na Betty Ayoub wa VOA walisafiri hadi Angola kufahamu zaidi kuhusu chanzo kimojawapo cha biashara ya watumwa waliovushwa bahari ya Atlantic na athari zinazoendelea katika eneo hilo.

Makundi

XS
SM
MD
LG