Benki ya Dunia imetoa makadirio yake ya kukua kwa uchumi katika nchi tano za Kiafrika. Nchi hizo ni Kenya, Nigeria, Ivory Coast, Senegal na Cameroon ambazo ziko barani Afrika. Angalia namna kutakavyokuwa na mafanikio na pia baadhi kurudi nyuma katika uchumi wa nchi hizi.
Je, unazifahamu nchi tano za Kiafrika ambazo Benki ya Dunia imetabiri uchumi wake utakua 2023?
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto