Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 13:27
VOA Direct Packages

Je, unajua namna idadi ya Wahamiaji wa Kiafrika inavyoongezeka Marekani


Je, unajua namna idadi ya Wahamiaji wa Kiafrika inavyoongezeka Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:27 0:00

Waafrika wanahesabiwa kwa ukuaji wa haraka idadi ya Wahamiaji nchini Marekani.

Usikose kuungana nasi kufuatilia Matangazo ya Sauti ya Amerika barani Afrika ya mkutano wa pili wa Viongozi wa Marekani na Afrika unaofanyika mjini Washington D.C, kuanzia Desemba 13-15. Rais Joe Biden atakuwa ni mwenyeji wa wakuu wa nchi 49 za Afrika na mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika mjini Washington wakihudhuria mkutano juu ya biashara, uwekezaji na maendeleo.

Makundi

XS
SM
MD
LG