Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 03, 2023 Local time: 03:26

Idadi ya waliofariki katika tetemeko la ardhi Uturuki na Syria yaongezeka


Idadi ya waliofariki katika tetemeko la ardhi Uturuki na Syria yaongezeka
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi nchini Uturuki na Syria imeogezeka na kufikia 17,000, wengine wengi wakiwa bado wamefunikwa na vifusi wakati juhudi za uokoaji zikiendelea.

XS
SM
MD
LG